Wilaya ya Cote d'Ivoire From Wikipedia, the free encyclopedia
Wilaya ya Guitry (kwa Kifaransa: département De Guitry) ni moja kati ya tarafa tatu za Mkoa wa Lôh-Djiboua ulioko Magharibi mwa Cote d'Ivoire.
auto
Wilaya ya Guitry | |
Eneo la Wilaya ya Guitry. | |
Nchi | Cote d'Ivoire |
---|---|
Jimbo | Gôh-Djiboua |
Mkoa | Lôh-Djiboua |
Serikali[1] | |
- Prefect | Patrice Loua |
Idadi ya wakazi (2014) | |
- Wakazi kwa ujumla | 146,748 |
GMT | (UTC+0) |
Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa 146,748.
Makao makuu ya eneo hilo ni Guitry.
Wilaya ya Guitry sasa imegawanywa katika tarafa zifuatazo:
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.