Mipingo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mipingo ni kata ya Wilaya ya Lindi Mjini katika Mkoa wa Lindi, Tanzania. Msimbo wa posta ni 65221.
Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 8,542 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 5,926 [2].
Kwenye kata ya Mipingo, karibu na kijiji cha Nambiranji, kuna kilima cha Tendaguru kilichojulikana kimataifa kama mahali pa kupatikana kwa visukuku bora, hasa mifupa ya dinosauri kutoka kipindi cha Jura.