Maria kupalizwa mbinguni
From Wikipedia, the free encyclopedia
Maria kupalizwa mbinguni ni sherehe ya Kanisa Katoliki inayoadhimishwa kila mwaka tarehe 15 Agosti[1]. Kadiri ya sheria za Kanisa, kimataifa ni sikukuu ya amri, ingawa katika nchi nyingine si hivyo, kutokana na serikali kutokubali tarehe hiyo kama siku ya pumziko.