Karne ya 10
karne / From Wikipedia, the free encyclopedia
Karne ya 10 ilikuwa kipindi cha miaka mia moja kati ya 901 na 1000. Kikamilifu kilianza tarehe 1 Januari 901 na kuishia 31 Desemba 1000. Namba zake zinafuata hesabu ya miaka "baada ya Kristo".
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 8 |
Karne ya 9 |
Karne ya 10
| Karne ya 11
| Karne ya 12
| ►
Miaka ya 900 |
Miaka ya 910 |
Miaka ya 920 |
Miaka ya 930 |
Miaka ya 940 |
Miaka ya 950 |
Miaka ya 960 |
Miaka ya 970 |
Miaka ya 980 |
Miaka ya 990
Kama kila "karne" ni kipindi kinachohesabiwa kwa hiari ya kibinadamu kwa sababu ni mgawanyo wa kalenda tu: katika hali halisi maendeleo na mabadiliko makubwa hayafuati migawanyo ya kalenda ya kibinadamu.
Kuna mambo mengi yaliyotokea wakati wa karne hii, kama haya yafuatayo.