Karne ya 11
karne / From Wikipedia, the free encyclopedia
Karne ya 11 ilikuwa kipindi cha miaka mia moja kati ya 1001 na 1100. Kikamilifu kilianza tarehe 1 Januari 1001 na kuishia 31 Desemba 1100. Namba zake zinafuata hesabu ya miaka "baada ya Kristo".
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 9 |
Karne ya 10 |
Karne ya 11
| Karne ya 12
| Karne ya 13
| ►
Miaka ya 1000 |
Miaka ya 1010 |
Miaka ya 1020 |
Miaka ya 1030 |
Miaka ya 1040 |
Miaka ya 1050 |
Miaka ya 1060 |
Miaka ya 1070 |
Miaka ya 1080 |
Miaka ya 1090
Kama kila "karne" ni kipindi kinachohesabiwa kwa hiari ya kibinadamu kwa sababu ni mgawanyo wa kalenda tu: katika hali halisi maendeleo na mabadiliko makubwa hayafuati migawanyo ya kalenda ya kibinadamu.
Kuna mambo mengi yaliyotokea wakati wa karne hii, kama haya yafuatayo.