Karne ya 7
karne / From Wikipedia, the free encyclopedia
Karne ya 7 ilikuwa kipindi cha miaka mia moja kati ya 601 na 700. Kikamilifu kilianza tarehe 1 Januari 601 na kuishia 31 Desemba 700. Namba zake zinafuata hesabu ya miaka "baada ya Kristo".
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 5 |
Karne ya 6 |
Karne ya 7
| Karne ya 8
| Karne ya 9
| ►
Miaka ya 600 |
Miaka ya 610 |
Miaka ya 620 |
Miaka ya 630 |
Miaka ya 640 |
Miaka ya 650 |
Miaka ya 660 |
Miaka ya 670 |
Miaka ya 680 |
Miaka ya 690
Kama kila "karne" ni kipindi kinachohesabiwa kwa hiari ya kibinadamu kwa sababu ni mgawanyo wa kalenda tu: katika hali halisi maendeleo na mabadiliko makubwa hayafuati migawanyo ya kalenda ya kibinadamu.
Kuna mambo mengi yaliyotokea wakati wa karne hii, kama haya wafuatayo.