Karne ya 6
karne / From Wikipedia, the free encyclopedia
Karne ya 6 ilikuwa kipindi cha miaka mia moja kati ya 501 na 600. Kikamilifu kilianza tarehe 1 Januari 501 na kuishia 31 Desemba 600. Namba zake zinafuata hesabu ya miaka "baada ya Kristo".
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 4 |
Karne ya 5 |
Karne ya 6
| Karne ya 7
| Karne ya 8
| ►
Miaka ya 500 |
Miaka ya 510 |
Miaka ya 520 |
Miaka ya 530 |
Miaka ya 540 |
Miaka ya 550 |
Miaka ya 560 |
Miaka ya 570 |
Miaka ya 580 |
Miaka ya 590
Kama kila "karne" ni kipindi kinachohesabiwa kwa hiari ya kibinadamu kwa sababu ni mgawanyo wa kalenda tu: katika hali halisi maendeleo na mabadiliko makubwa hayafuati migawanyo ya kalenda ya kibinadamu.
Kuna mambo mengi yaliyotokea wakati wa karne hii, kama haya yafuatayo.