Jibuti
From Wikipedia, the free encyclopedia
Jibuti (Kifaransa: Djibouti; Kiarabu: جيبوتي), kirasmi Jamhuri ya Jibuti, ni nchi ndogo ya Afrika ya Mashariki kwenye Pembe la Afrika.
Ukweli wa haraka
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: {{{national_motto}}} | |||||
Wimbo wa taifa: {{{national_anthem}}} | |||||
[[Image:{{{image_map}}}|250px|Lokeshen ya {{{common_name}}}]] | |||||
Mji mkuu | {{{capital}}} 11°36′ N 43°10′ E | ||||
Mji mkubwa nchini | {{{largest_city}}} | ||||
Lugha rasmi | {{{official_languages}}} | ||||
Serikali {{{leader_titles}}} |
{{{government_type}}} {{{leader_names}}} | ||||
{{{sovereignty_type}}} {{{established_events}}} |
{{{established_dates}}} | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
[[{{{area_magnitude}}} m²|{{{area}}} km²]] ({{{area_rank}}}) {{{percent_water}}} | ||||
Idadi ya watu - [[{{{population_estimate_year}}}]] kadirio - Msongamano wa watu |
{{{population_estimate}}} ({{{population_estimate_rank}}}) {{{population_density}}}/km² ({{{population_density_rank}}}) | ||||
Fedha | {{{currency}}} ({{{currency_code}}} ) | ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
{{{time_zone}}} (UTC{{{utc_offset}}}) {{{time_zone_DST}}} (UTC{{{utc_offset_DST}}}) | ||||
Intaneti TLD | {{{cctld}}} | ||||
Kodi ya simu | +{{{calling_code}}}
- |
Funga
Imepakana na Eritrea, Ethiopia na Somalia upande wa bara. Kuna pwani ya Bahari ya Shamu na Ghuba ya Aden. Ng'ambo ya bahari iko nchi ya Yemen katika umbali wa km 20 pekee.