From Wikipedia, the free encyclopedia
Bigwa ni kata ya Wilaya ya Morogoro Mjini katika Mkoa wa Morogoro, Tanzania yenye Postikodi namba 67111.
Kata ya Bigwa | |
Majiranukta: 6°49′12″S 37°39′36″E | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Mkoa | Morogoro |
Wilaya | Morogoro Mjini |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 16,623 |
Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 16,623 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 10,149 waishio humo. [2]
Kata hii inakabiliwa na changamoto hii kwa sababu maji yanayopatikana hapo ni majitaka na si salama. Tatizo hili linaweza kutatuliwa pale tu ambapo watu wataamua kuwa makini na utupaji takataka ovyo katika vyanzo vilivyopo katika kata.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.