Stefano Kijana
From Wikipedia, the free encyclopedia
Stefano Kijana (Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 715 hivi ; Konstantinopoli, 28 Novemba, 764 hivi) alikuwa abati ambaye alidhulumiwa kirefu hadi kuteswa na kaisari Konstantino V wa Bizanti na hatimaye akauawa kwa sababu ya kutetea heshima kwa picha takatifu na imani sahihi [1].


Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.