Pompili Maria Pirrotti

From Wikipedia, the free encyclopedia

Pompili Maria Pirrotti

Pompili Maria Pirrotti, S.P. (Montecalvo Irpino, Avellino, 29 Septemba 1710 - Campi Salentina, Lecce, 15 Julai 1766) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki maarufu kwa ugumu wa maisha na kama mwalimu na mhubiri huko Italia Kusini[1].

Thumb
Mt. Pompili Maria alivyochorwa.

Alitangazwa na Papa Leo XIII kuwa mwenye heri tarehe 26 Januari 1880, halafu Papa Pius XI alimtangaza mtakatifu tarehe 19 Machi 1934.

Sikukuu yake inaadhimishwa katika tarehe ya kifo chake[2].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.