Wilaya ya Musoma ni wilaya mojawapo kati ya 9 za Mkoa wa Mara yenye postikodi namba 31200.

Thumb
Mahali pa Musoma Vijijini (kijani cheusi) katika mkoa wa Mara.

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 330,953 [1] na katika ile ya mwaka 2022, baada ya kumegwa, walihesabiwa 266,655 [2].

Marejeo

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.