Maralal
From Wikipedia, the free encyclopedia
Maralal ni mji wa Kenya katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki, kaunti ya Samburu. Ni kata ya Eneo bunge la Pokot Kusini, nchini Kenya[1].

Maralal | |
Mahali pa mji wa Maralal katika Kenya |
|
Majiranukta: 1°6′0″N 36°42′0″E | |
Nchi | Kenya |
---|---|
Kaunti | Samburu |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 35,472 |
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.