Lugha ya programu
From Wikipedia, the free encyclopedia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Lugha ya programu ni aina ya lugha iliyoandikwa inayoongoza tarakilishi kufanya kazi fulani kama inayotarajiwa na mwandishi. Lugha za namna hiyo zinatumika kuandaa programu zote za kompyuta. Ni kama seti ya maelekezo ya kufuata.
Kosa dogo katika kuandika linaweza kusababisha madhara makubwa. Hivyo ni lazima uhakikishe umeandika vizuri kila herufi, tarakimu au alama nyingine yoyote.
Hapa chini kuna orodha ya lugha za programu:
Yaliyomo: Mwanzoni - 0–9 A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.