Krakov

From Wikipedia, the free encyclopedia

Krakov

Krakov (kwa lugha ya Kipolandi: Kraków, Kiingereza: Cracow, Kilatini: Cracovia) ni mji wa Poland. Mji huo ulikuwa na watu 759,144 mwaka wa 2014.[1] [2] Krakov ilikuwa mji mkuu wa Poland kuanzia mwaka wa 1038 hadi 1596.

Thumb
Krakov, Poland
Ukweli wa haraka Nchi, - Wakazi kwa ujumla ...
Krakov
Thumb
Krakov

Mahali pa Krakov katika Earth

Majiranukta: 50°04′00″N 19°56′00″E
Nchi Poland
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 759 800 (30.06.2014)
Tovuti:  http://www.krakow.pl/
Funga

Viungo vya nje

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.