From Wikipedia, the free encyclopedia
Kwa matumizi mengine ya jina hili tazama Kilwa
Kilwa Masoko ni mji mdogo katika Tanzania ulio makao makuu ya Wilaya ya Kilwa tangu miaka ya 1960.
Iko barani ikitazama Kilwa Kisiwani. Mji ni wa kisasa. Kuna uwanja mdogo wa ndege pia bandari ndogo yenye kituo cha forodha.
Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 21,519 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 13,601. [2] walioishi humo.
Msimbo wa posta ni 65408.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.