From Wikipedia, the free encyclopedia
Kibiti ni mji mdogo katika Wilaya ya Kibiti, Tanzania, yenye postikodi namba 61813.
Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 29,533 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 15,156 [2] walioishi humo.
Msimbo wa Posta ni 61610.
Shughuli kuu katika kata ya Kibiti ni kilimo cha mihogo, ufuta, mpunga, korosho, mahindi na mtama.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.