Jakuto

From Wikipedia, the free encyclopedia

Jakuto

Jakuto (pia: Jacut; Jagu, Yagu; Welisi au Cornwall, Uingereza, 455 hivi - Bretagne, Ufaransa, karne ya 6) alikuwa mmonaki anayetajwa kama mwanzilishi wa monasteri ya Landoac nchini Ufaransa[1].

Thumb
Sanamu yake.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu kama pacha wake Gwetnoko na mdogo wao Vinvaleo.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Februari[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.