Mitindo (au fasheni kutoka Kiingereza fashion) ni njia ya mtu, kundi au jamii kufanya au kuwasilisha jambo kwa namna maalumu. Kwa mfano kufanya jambo harakaharaka, polepole, kwa taratibu fulanifulani na kadhalika. Halafu hiyo namna maalumu inaenea katika jamii, hasa upande wa mavazi. Mitindo inabadilikabadilika kadiri ya mahali na nyakati.[1][2][3]

Thumb
Kufuata Fasheni (1794), katuni ya James Gillray.
Thumb
Mwanamitindo nchini Tanzania

Kuna watu maalumu ambao wanabuni mitindo mipya, wanaionyesha na kuisambaza, mara nyingi kwa faida kubwa kiuchumi.

Kutokana na utandawazi, siku hizi mitindo inaenea duniani kote, hasa kutoka nchi tajiri kwenda nchi maskini, na pengine inaharibu maadili na utamaduni.

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.