From Wikipedia, the free encyclopedia
Maadili ni mafundisho yanayotolewa katika nafasi mbalimbali, hasa katika malezi, ili kuelekeza binadamu atende namna ambayo imjenge yeye na jamii nzima.
Maadili yanayohitajiwa na watu wote kimsingi ni yaleyale, lakini mazingira yanaweza kudai yatekelezwe kwa namna tofauti kiasi.
Pamoja na hayo, watu tangu zamani wametoa maadili namna maalumu kulingana na dini, utamaduni, falsafa n.k.
Mmomonyoko wa maadili ni hali ya kukiukwa kwa maadili ya jamii fulani. Mmomonyoko wa maadili umesambaa kwa kasi sana, kwa vijana kuliko wazee, hiyo yote ni kwa sababu ya vyanzo vifuatavyo.
Njia zinazopendekezwa ili kutatua mmomonyoko wa maadili hasa kwa vijana ni kama vile:
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.