From Wikipedia, the free encyclopedia
Eneo bunge la Muhoroni ni mojawapo ya majimbo 290 ya Uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili linapatikana katika kaunti ya Kisumu, miongoni mwa majimbo saba ya kaunti hiyo.
Jamhuri ya Kenya |
Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
|
Nchi zingine · Atlasi |
Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 1988 wakati Jimbo kubwa la Nyando lilipotawanywa.
Wodi | ||
Wodi | Wapiga Kura Waliojiandikisha | Utawala wa Mitaa |
---|---|---|
Fort Ternan | 1,535 | Muhoroni (Mji) |
God Nyithindo | 3,829 | Muhoroni (Mji) |
Koru | 3,872 | Muhoroni (Mji) |
Muhoroni Town | 3,325 | Muhoroni (Mji) |
Owaga | 982 | Muhoroni (Mji) |
Ombeyi South | 3,200 | Ahero (Mji) |
Chemelil | 6,696 | Nyando county |
Miwani,Kenya | 2,789 | Nyando county |
North East Kano | 6,918 | Nyando County |
Nyang'oma | 6,149 | Nyando county |
Ombeyi North | 3,968 | Nyando county |
Tamu | 4,774 | Nyando county |
Jumla | 48,037 | |
*Septemba 2005 [2]. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.