![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/69/Tanzania_Kilombero_location_map.svg/langsw-640px-Tanzania_Kilombero_location_map.svg.png&w=640&q=50)
Wilaya ya Ifakara Mjini
From Wikipedia, the free encyclopedia
Wilaya ya Ifakara Mjini ni wilaya mojawapo ya Mkoa wa Morogoro, Tanzania yenye Postikodi namba 67500.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/69/Tanzania_Kilombero_location_map.svg/220px-Tanzania_Kilombero_location_map.svg.png)
Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya ya Kilombero ilihesabiwa kuwa 407,880.[1] Katika ile ya mwaka 2022 walihesabiwa 290,424 waliobaki upande wa wilaya ya Ifakara Mjini, yalipokuwa makao makuu ya wilaya ya Kilombero, baada ya kuigawa na kuunda wilaya ya Mlimba [2].