![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/69/Tanzania_Kilombero_location_map.svg/langsw-640px-Tanzania_Kilombero_location_map.svg.png&w=640&q=50)
Wilaya ya Mlimba
From Wikipedia, the free encyclopedia
Wilaya ya Mlimba ni wilaya mojawapo ya Mkoa wa Morogoro, Tanzania yenye Postikodi namba 67500.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/69/Tanzania_Kilombero_location_map.svg/220px-Tanzania_Kilombero_location_map.svg.png)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1a/Transplanting.jpg/640px-Transplanting.jpg)
Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 407,880.[1] Katika ile ya mwaka 2022 walihesabiwa 292,536 tu, kutokana na uanzishwaji wa wilaya ya Ifakara Mjini, yalipokuwa makao makuu ya wilaya ya Kilombero [2].