Wilaya ya Bukoba ni wilaya mojawapo kati ya 8 za Mkoa wa Kagera yenye postikodi namba 35200 [1].
Wakazi
Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 289,697 [2]. Mwaka 2007 wilaya mpya ya Misenyi iliundwa kutokana na maeneo ya awali ya Bukoba vijijini. Hata hivyo, katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 322,448 [3].
Marejeo
Wikiwand in your browser!
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.