Wabondei
From Wikipedia, the free encyclopedia
Wabondei ni kabila la watu wa Tanzania wanaoishi katika wilaya ya Muheza, Mkoa wa Tanga, karibu na Milima ya Usambara. Lugha yao ni Kibondei. Mwaka 1987 idadi ya Wabondei ilikadiriwa kuwa 80,000 [1].
Wabondei ni kabila la watu wa Tanzania wanaoishi katika wilaya ya Muheza, Mkoa wa Tanga, karibu na Milima ya Usambara. Lugha yao ni Kibondei. Mwaka 1987 idadi ya Wabondei ilikadiriwa kuwa 80,000 [1].