![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/bc/The_worship_of_Mammon.jpg/640px-The_worship_of_Mammon.jpg&w=640&q=50)
Uroho
From Wikipedia, the free encyclopedia
Uroho ni hamu isiyoratibiwa ya kujipatia mali kuliko mtu anavyohitaji, hata kuwakosesha wengine.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/bc/The_worship_of_Mammon.jpg/640px-The_worship_of_Mammon.jpg)
Maelezo zaidi Vilema vikuu ...
Funga
Ni chanzo cha maovu mengi katika maisha ya jamii, kama vile unyonyaji, wizi, vita n.k.
Kwa sababu hiyo maadili ya Kanisa yanauhesabu kati ya vilema vikuu ambavyo vinasababisha dhambi nyingine.
Tena, kadiri ya mtume Paulo, uroho unachangia dhambi zote.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |