Mtango-tamu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mtango-tamu (Solanum muricatum) ni mmea wa familia Solanaceae. Ijapokuwa mmea huu una mnasaba na mnyanya, matunda yake, yaitwayo matango matamu, yana ladha tofauti kabisa. Matunda haya yanafanana na magogwe makubwa na ladha yao ni mchanganyiko wa tikiti-asali na tango.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Mtango-tamu (Solanum muricatum) | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mtango-tamu | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
|
Funga
Mitango-tamu hukuzwa kwa biashara nchini Chili, Australia ya Magharibi na Nyuzilandi hasa, lakini pia katika Kolombia, Peru, Ekwador, Hispania, Kenya, Maroko na Marekani.