Kolombia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kolombia (kwa Kihispania: República de Colombia) ni nchi kwenye pembe la kaskazini la Amerika ya Kusini.
Ukweli wa haraka
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: Kihispania: Libertad y Orden "Uhuru na Utaratibu" | |||||
Wimbo wa taifa: Oh, Gloria Inmarcesible! Ewe heshima isiyouzika | |||||
Mji mkuu | Bogota 4°39′ N 74°3′ W | ||||
Mji mkubwa nchini | Bogota | ||||
Lugha rasmi | Kihispania | ||||
Serikali Rais |
Jamhuri Iván Duque Márquez | ||||
Uhuru Ilitangazwa Ilitambuliwa |
20 Julai 1810 7 Agosti 1819 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
1,141,748 km² (ya 26) 8.8% | ||||
Idadi ya watu - Februari 2015 kadirio - 2005 sensa - Msongamano wa watu |
48,014,026 (ya 27) 42,888,592 40.74/km² (173) | ||||
Fedha | Peso ya Kolombia (COP ) | ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC-5) (UTC) | ||||
Intaneti TLD | .co | ||||
Kodi ya simu | +57
- |
Funga
Imepakana na Venezuela, Brazil, Ekuador, Peru na Panama. Ina pwani mbili, kwenye Pasifiki na Atlantiki.
Jina la nchi limeteuliwa kwa heshima ya Kristoforo Kolumbus (Kihisp.: Cristóbal Colón; kwa Kiitalia: Cristoforo Colombo) aliyegundua njia kati ya Hispania na Amerika mwaka 1492.