Alizeti
From Wikipedia, the free encyclopedia
Alizeti au kifuata-jua au mkabilishamsi (jina la kisayansi: Helianthus annuus) ni mmea wenye ua kubwa unaodumu mwaka mmoja. Asili yake iko Amerika lakini imeenea pande nyingi za dunia.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Alizeti (Helianthus annuus) | ||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Alizeti | ||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||
|
Funga