Romualdo Abati
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mtakatifu Romualdo (Ravenna, Emilia-Romagna, 951 / 953 - karibu na Fabriano, Marche, 19 Juni 1027) alikuwa abati nchini Italia na mwanzilishi wa urekebisho wa Wabenedikto Wakamaldoli.
Anaheshimiwa kama mtakatifu na Kanisa Katoliki kuanzia miaka 5 baada ya kufa, na hasa tangu mwaka 1595.