![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/0/0d/Regina_caeli%252C_laetare.png/640px-Regina_caeli%252C_laetare.png&w=640&q=50)
Regina caeli
From Wikipedia, the free encyclopedia
"Regina caeli" (tamka: reˈdʒina ˈtʃeli; maana yake Malkia wa Mbingu)ni antifona inayotumika kumuelekea Bikira Maria katika Kanisa la Kilatini wakati wa Pasaka, kuanzia Dominika ya Ufufuko wa Yesu hadi Pentekoste.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/0/0d/Regina_caeli%2C_laetare.png/320px-Regina_caeli%2C_laetare.png)
Katika siku hizo hamsini ndiyo antifona pekee inayotumika kumalizia Sala ya mwisho ya Liturujia ya Vipindi [2] lakini pia inashika nafasi ya sala ya Angelus (inayofanyika mara tatu kwa siku: asubuhi, adhuhuri na jioni).