Odoriko wa Pordenone
From Wikipedia, the free encyclopedia
Odoriko wa Pordenone, O.F.M. (1286–1331), alikuwa Mfransisko wa Italia aliyetumwa kama mmisionari huko China, akaandika ripoti ya safari yake.
Kutokana na miujiza mingi iliyosemekana kutokea kwenye kaburi lake, Papa Benedikto XIV alithibitisha mwaka 1755 heshima ya mwenye heri ambayo Odoriko alikuwa amepewa tangu zamani.