Padova

From Wikipedia, the free encyclopedia

Padova

Padova ni mji wa Italia katika mkoa la Veneto. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao 210,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 12 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Thumb
Sehemu ya mji
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Padova
Nchi Italia
Mkoa Veneto
Wilaya Padova
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 212,858
Tovuti:  www.padovanet.it/
Funga

Tazama pia

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.