From Wikipedia, the free encyclopedia
Netflix ni kampuni ya Marekani inayotoa huduma ya kutazama filamu na vipindi vya runinga kupitia intaneti.
Wateja wananunua huduma kwa muda wa miezi fulani halafu wanaweza kutazama filamu zilizomo katika hazinadata ya Netflix.
Mteja hawezi kupakua media hizo yaani hawezi kubaki na nakala ya filamu bali anaiangalia moja kwa moja.
Kwenye mwaka 2021 Netflix ilikuwa na wateja milioni 209 kote duniani[1][2].
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.