From Wikipedia, the free encyclopedia
Mzumbe ni kata ya Wilaya ya Mvomero katika Mkoa wa Morogoro, Tanzania, yenye Postikodi namba 67311.
Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 19,677 [1].Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 19,056 [2] walioishi humo.
Mzumbe ilikuwa mahali pa chuo cha utawala (Local Government School) kilichoanzishwa mwaka 1953 wakati wa Tanganyika kuwa chini ya Uingereza kilichoendelea kuwa "Institute of Development Management (IDM-Mzumbe)"; tangu mwaka 2001 hadhi ya taasisi ilipandishwa tena kuwa chuo kikuu cha Mzumbe University.[3]
Mzumbe ina watu wa makabila mbalimbali, lakini hasa ni asili ya kabila la Waluguru.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.