![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/39/Trichuris_trichiura%252C_female.jpg/640px-Trichuris_trichiura%252C_female.jpg&w=640&q=50)
Mnyoo-mjeledi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mnyoo-mjeledi (Trichuris trichiura) ni spishi ya mnyoo kidusia wa familia Trichuridae katika faila Nematoda anayeishi katika sikamu ya watu. Anaweza kusababisha kuhara damu na anemia, katika watoto hasa.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Mnyoo-mjeledi | ||||||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Jike la mnyoo-mjeledi (Trichuris trichiura)
![]() Dume la mnyoo-mjeledi | ||||||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||||||
| ||||||||||||||||||||||
Funga