![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/57/Children_in_Namibia%25281_cropped%2529.jpg/640px-Children_in_Namibia%25281_cropped%2529.jpg&w=640&q=50)
Mtoto
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mtoto ni mwanadamu mwenye umri mdogo, asiye mtu mzima bado. Kuna tofauti katika tamaduni mbalimbali kuhusu umri ambapo mtu si mtoto tena.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/57/Children_in_Namibia%281_cropped%29.jpg/640px-Children_in_Namibia%281_cropped%29.jpg)
Mara nyingi miaka kabla ya kubalehe inatazamiwa kuwa kipindi cha utoto na baadaye mtu anaitwa kijana.