Mkoa wa Gbêkê
From Wikipedia, the free encyclopedia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mkoa wa Gbêkê (kwa Kifaransa: Région de Gbêkê) ni moja kati ya mikoa 31 ya nchini Cote d'Ivoire.
auto
Mkoa wa Gbêkê | |
Mahali pa Mkoa wa Gbêkê (kijani) katika Cote d'Ivoire za Jimbo la Vallée du Bandama |
|
Imara: 2011 | |
Nchi | Cote d'Ivoire |
---|---|
Jimbo | Vallée du Bandama |
Serikali[1] | |
- Prefect | Konin Aka |
- Rais wa Baraza | Jean Kouassi Abonouan |
Eneo[2] | |
- Jumla | 8 996 km² |
Idadi ya wakazi (2014) | |
- Wakazi kwa ujumla | 1,010,849 |
GMT | (UTC+0) |
Uko katikati ya nchi. Makao makuu ya eneo hilo ni Bouaké. Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa watu 1,010,849.
Gbêkê kwa sasa imegawanywa katika wilaya nne:
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.