![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/0/0e/Location_Map_of_Agn%25C3%25A9by-Tiassa_Region_in_C%25C3%25B4te_d%2527Ivoire.svg/langsw-640px-Location_Map_of_Agn%25C3%25A9by-Tiassa_Region_in_C%25C3%25B4te_d%2527Ivoire.svg.png&w=640&q=50)
Mkoa wa Agnéby-Tiassa
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mkoa wa Agneby-Tiassa (kwa Kifaransa: Région de l'Agnéby-Tiassa) ni moja kati ya mikoa 31 ya nchini Cote d'Ivoire.
auto
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Mkoa wa Agnéby-Tiassa | |
![]() katika Cote d'Ivoire |
|
Nchi | ![]() |
---|---|
Jimbo | Lagunes |
Serikali[1] | |
- Prefect | Anatole-Privat Bako Digbe |
- Rais wa Baraza | Nando Martin M'Bolo |
Eneo[2] | |
- Jumla | 9,080 km² |
Idadi ya wakazi (2014) | |
- Wakazi kwa ujumla | 606,852 |
GMT | (UTC+0) |
Tovuti: agneby-tiassa.ci |
Funga
Uko katika kusini-mashariki ya nchi. Makao makuu ya eneo hilo ni Agboville. Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa watu 606,852.