From Wikipedia, the free encyclopedia
Jimbo la Lagunes (kwa Kifaransa: District des Lagunes) ni moja kati ya majimbo 14 za nchini Cote d'Ivoire. Iko Kusini mwa nchi[1].
Jimbo la Lagunes | |
Eneo katika Côte d'Ivoire |
|
Majiranukta: 5°50′42″N 4°17′35″W | |
Nchi | Cote d'Ivoire |
---|---|
Jimbo | Lagunes |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 1,478,047[1] |
Mwaka 2014, (Sensa ya Cote d'Ivoire ya 2014) idadi ya wakazi ilikuwa watu 1,478,047[1].
Makao makuu yako Dabou.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.