![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/99/Boschsevendeadlysins.jpg/640px-Boschsevendeadlysins.jpg&w=640&q=50)
Mizizi ya dhambi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mizizi ya dhambi, au vilema vikuu au vichwa vya dhambi ni orodha ya maovu ambayo tangu zamani za mababu wa Kanisa[1] katika maadili ya Ukristo yanahesabiwa kuelekeza binadamu kutenda dhambi nyingine, hata kubwa zaidi. [2]
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/99/Boschsevendeadlysins.jpg/640px-Boschsevendeadlysins.jpg)
Maelezo zaidi Vilema vikuu ...
Funga
Kwa kawaida inatajwa kuwa saba,[3] zote zikitokana na umimi usiozingatia ukweli.