From Wikipedia, the free encyclopedia
Mataifa ya Kiturki ni kundi la mataifa na makabila yanayotumia mojawapo ya lugha za Kiturki. Katika makala hii tunawaita "Waturki"[1]. Taifa kubwa katika kundi hilo ni Waturuki, raia wa nchi ya Uturuki.
Nchi nyingine ambako watu wengi ni kutoka mataifa ya Kiturki ni pamoja na Kazakhstan, Uzbekistan, Azerbaijan na Turkmenistan. [2]
Lakini wako pia katika Siberia (Urusi), katika milima ya Kaukazi, Iraki, Iran, Afghanistan, Kirgizia na China ya magharibi.
Wengi wao wanaweza kuwasiliana hata kama wanatoka nchi tofauti, kwa sababu lugha zao ni za karibu na kuna maneno mengi ya pamoja.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.