From Wikipedia, the free encyclopedia
Kundi ni idadi ya watu au vitu vilivyopo, vimekusanyika, au vinavyowekwa pamoja. Neno hilo limekuwa likitumika mara nyingi kuonyesha mkusanyiko wa watu, wanyama, ndege wa angani au wadudu. ambapo mkusanyiko huo hutokana ana kuwepo kwa kufanana kwa maana ya tabia au muonekano wao.
Mara kwa mara makundi ya watu huhusisha kuwepo kwa jambo fulani kati ya wahusika ambao wamekutana katika kundi hilo. Kwa mfano kuwepo kwa majadiliano juu ya jambo fulani kati yao au katika harakati za kutatua jambo fulani kati yao.
Kuna aina tatu za makundi ya watu:
Mara nyingi kundi la ndege wa angani huwa linakuwepo kutokana na kufanana kwa ndege husika, tabia za ndege husika. Kwa mfano ndege wanaoishi pembezoni mwa ziwa au bahari huwa wanakaa au kusafiri katika makundi mbalimbali.
Katika kundi hili la wadudu wapo wadudu wa aina tofauti tofauti, wapo wadudu watambaao pia wapo wadudu warukao angani. Katika hili pia kundi la wadudu huwepo kwa dhana ya kufanana kwao au hata kutokana na tabia zao. Wapo wadudu wanaoishi katika miti pia wapo wadudu wanaokaa ardhini.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.