Masieda
From Wikipedia, the free encyclopedia
Masieda ni kata ya Wilaya ya Mbulu Vijijini katika Mkoa wa Manyara, Tanzania.
Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 7,865 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 9,929 waishio humo.[2]