![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/c7/Lamu_town_square.jpg/640px-Lamu_town_square.jpg&w=640&q=50)
Lamu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Lamu ni mji mkubwa wa kisiwa cha Lamu kwenye pwani ya Kenya wenye wakazi 25,385 (2019[1]). Mji huo ni pia makao makuu ya Kaunti ya Lamu.
Kwa maana nyingine, tazama Lamu (maana).
Ukweli wa haraka Nchi, Kaunti ...
Lamu | |
Mahali pa mji wa Lamu katika Kenya |
|
Majiranukta: 2°16′0″S 40°55′0″E | |
Nchi | Kenya |
---|---|
Kaunti | Lamu |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 25,385 |
Funga
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/c7/Lamu_town_square.jpg/320px-Lamu_town_square.jpg)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/2/22/Lamu_coast.jpg/640px-Lamu_coast.jpg)
Mji upo upande wa kaskazini-mashariki wa kisiwa kando ya mfereji unaotenganisha visiwa vya Lamu na Manda. Mfereji huo ni bandari asilia inayohifadhiwa dhidi ya dhoruba na mawimbi makali ya bahari.