Karibi
ukarasa wa maana wa Wikimedia / From Wikipedia, the free encyclopedia
Karibi ni neno la kutaja
- Wakaribi walikokuwa wenyeji wa visiwa upande wa mashariki ya Amerika ya Kati wakati wa kufika kwa Kristoforo Kolumbus
- Bahari ya Karibi ni bahari ya pembeni ya Atlantiki mbele ya mwambao wa Amerika ya Kati
- Visiwa vya Karibi ni jina la kutaja funguvisiwa na visiwa mbalimbali -jumla ni takriban 7.000- katika Bahari ya Karibi kama vile Barbados, Kuba, Hispaniola, Jamaika, Trinidad, Antili Ndogo
Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana
Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja. |