Kaloleni
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kaloleni pamoja na Kalole ni jina la miji, vijiji na mitaa mbalimbali katika Afrika ya Mashariki na Afrika ya Kusini.
- Kata ya Kaloleni kwenye kaunti ya Kilifi (zamani Wilaya ya Kaloleni) nchini Kenya
- Kata ya Kaloleni katika kaunti ya Kisumu, Kenya
- Kata ya Kaloleni katika kaunti ya Taita-Taveta, Kenya
- Kata ya Kaloleni (Arusha) mjini Arusha katika Tanzania
- Kata ya Kaloleni (Kiteto) kwenye Wilaya ya Kiteto, Mkoa wa Manyara, Tanzania
- Kata ya Kaloleni mjini Moshi katika Tanzania
- Kata ya Kaloleni (Tunduma) kwenye Wilaya ya Tunduma, Mkoa wa Songwe, Tanzania
Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana
Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja. |