![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/ff/Bayer_Heroin_bottle.jpg/640px-Bayer_Heroin_bottle.jpg&w=640&q=50)
Heroini
From Wikipedia, the free encyclopedia
Heroini (kwa jina la kitaalamu Diamasetilmorfini au Diamorfini) ni dawa inayotengenezwa kutokana na afyuni ambayo ni utomvu uliokauka wa ua la mpopi.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/ff/Bayer_Heroin_bottle.jpg/640px-Bayer_Heroin_bottle.jpg)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/64/HeroinWorld-en.svg/640px-HeroinWorld-en.svg.png)
Heroini ni dawa ya tiba yenye uwezo mkubwa wa kutuliza maumivu na wakati huohuo ni dawa ya kulevya iliyo kali na ya hatari.
Pamoja na kokain ni kati ya madawa haramu yanayosambazwa sana duniani kwa kujali pesa kuliko binadamu anayepatwa na uraibu na hatimaye kufa.