Gang Starr
From Wikipedia, the free encyclopedia
Gang Starr lilikuwa kundi la muziki wa hip hop lenye athira kubwa ya East Coast hip hop. Kundi linaunganisha watu wawili, ambao ni MC Guru na DJ/mtayarishaji DJ Premier. Kundi hilo lilijulikana sana kwa staili ya aina yao, ambayo inajumlisha baadhi ya elementi za hip hop na swing jazz ya New York.
Ukweli wa haraka Maelezo ya awali, Asili yake ...
Gang Starr | |
---|---|
DJ Premier na Guru | |
Maelezo ya awali | |
Asili yake | Boston, Massachusetts Brooklyn, New York |
Aina ya muziki | Hip hop Jazz rap Alternative hip hop |
Miaka ya kazi | 1987 - 2005 |
Studio | Wild Pitch Chrysalis Noo Trybe Records Virgin |
Ame/Wameshirikiana na | Gang Starr Foundation |
Wanachama wa zamani | |
Guru DJ Premier |
Funga