![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/99/Boston2.png/640px-Boston2.png&w=640&q=50)
Boston, Massachusetts
mji mkuu wa Jimbo la Massachusetts, Marekani / From Wikipedia, the free encyclopedia
Boston ndiyo mji mkuu katika jimbo la Massachusetts. Mji una wakazi wapatao 7,514,759 na hiyo ni kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2007.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/d7/Boston_-_panoramio_%2823%29.jpg/640px-Boston_-_panoramio_%2823%29.jpg)
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Boston | |||
| |||
Mahali pa mji wa Boston katika Marekani |
|||
Majiranukta: 42°19′18″N 71°5′21″W | |||
Nchi | Marekani | ||
---|---|---|---|
Jimbo | Massachusetts | ||
Wilaya | Suffolk | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 608,352 | ||
Tovuti: www.cityofboston.gov |
Funga
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/99/Boston2.png/320px-Boston2.png)
Mji uko futi 141 juu ya usawa wa bahari.